1 Samweli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+ Zaburi 84:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ee Yehova wa majeshi,Mwenye furaha ni mtu anayekutumaini.+
2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova,Hakuna mwingine isipokuwa wewe,+Na hakuna mwamba kama Mungu wetu.+