1 Mambo ya Nyakati 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote. Zaburi 50:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ningekuwa na njaa, nisingekwambia,Kwa maana nchi inayozaa na kila kitu kilichomo ni changu.+
11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote.