Zaburi 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umeyakemea mataifa+ na kuwaangamiza waovu,Na hivyo kulifuta jina lao milele na milele. Isaya 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yehova atakapomaliza kazi yake yote kwenye Mlima Sayuni na Yerusalemu, atamwadhibu* mfalme wa Ashuru kwa sababu ya moyo wake wenye dharau na macho yake yanayotazama kwa kiburi na majivuno.+
12 “Yehova atakapomaliza kazi yake yote kwenye Mlima Sayuni na Yerusalemu, atamwadhibu* mfalme wa Ashuru kwa sababu ya moyo wake wenye dharau na macho yake yanayotazama kwa kiburi na majivuno.+