Zaburi 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+ Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+ Isaya 28:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana Yeye humfundisha* njia inayofaa;Mungu wake humfundisha.+ Yohana 6:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Imeandikwa katika Manabii: ‘Wote watafundishwa na Yehova.’*+ Kila mtu ambaye amemsikiliza Baba na kujifunza huja kwangu.
8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+ Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+
45 Imeandikwa katika Manabii: ‘Wote watafundishwa na Yehova.’*+ Kila mtu ambaye amemsikiliza Baba na kujifunza huja kwangu.