Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:71
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 71 Ni vema kwamba nimeteswa,+

      Ili nijifunze masharti yako.

  • Methali 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwanangu, usikatae nidhamu ya Yehova,+

      Wala usichukie karipio lake,+

  • 1 Wakorintho 11:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hata hivyo, tunapohukumiwa, Yehova*+ anatutia nidhamu, ili tusihukumiwe pamoja na ulimwengu.+

  • Waebrania 12:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nanyi mmesahau kabisa lile himizo linalosema nanyi kama wana: “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova,* wala usikate tamaa anapokurekebisha; 6 kwa maana Yehova* huwatia nidhamu wale anaowapenda, kwa kweli, humpiga fimbo* kila mtu ambaye amempokea kuwa mwana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki