Kumbukumbu la Torati 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Ikiwa mtamsahau Yehova Mungu wenu na kufuata miungu mingine na kuiabudu na kuiinamia, nashuhudia dhidi yenu leo kwamba hakika mtaangamia.+ Zaburi 97:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaoabudu sanamu yoyote ya kuchongwa na waaibishwe,+Wale wanaojigamba kuhusu miungu yao ya ubatili.+ Mwinamieni,* enyi miungu yote.+ Yona 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wale wanaoabudu sanamu ambazo ni ubatili huacha chanzo chao cha upendo mshikamanifu.*
19 “Ikiwa mtamsahau Yehova Mungu wenu na kufuata miungu mingine na kuiabudu na kuiinamia, nashuhudia dhidi yenu leo kwamba hakika mtaangamia.+
7 Wote wanaoabudu sanamu yoyote ya kuchongwa na waaibishwe,+Wale wanaojigamba kuhusu miungu yao ya ubatili.+ Mwinamieni,* enyi miungu yote.+