26 Na mwangaza wa mwezi mpevu utakuwa kama mwangaza wa jua; na mwangaza wa jua utaongezeka mara saba,+ kama mwangaza wa siku saba, katika siku ambayo Yehova atalifunga jeraha* la watu wake+ na kuponya kidonda kikubwa kilichosababishwa na pigo alilowaletea.+