Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye humwangazia mnyoofu kama nuru gizani.+

      ח [Heth]

      Ni mwenye huruma* na mwenye rehema+ na ni mwadilifu.

  • Methali 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini kijia cha waadilifu ni kama nuru nyangavu ya asubuhi

      Inayong’aa zaidi na zaidi mpaka mchana kamili.+

  • Isaya 30:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na mwangaza wa mwezi mpevu utakuwa kama mwangaza wa jua; na mwangaza wa jua utaongezeka mara saba,+ kama mwangaza wa siku saba, katika siku ambayo Yehova atalifunga jeraha* la watu wake+ na kuponya kidonda kikubwa kilichosababishwa na pigo alilowaletea.+

  • Mika 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia

      —Kwa maana nimemtendea dhambi—+

      Mpaka atakapoitetea kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.

      Atanileta nje kwenye nuru;

      Nitautazama uadilifu wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki