Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wa Israeli alisema;

      Mwamba wa Israeli+ aliniambia:

      ‘Yule anayetawala wanadamu anapokuwa mwadilifu,+

      Anapotawala kwa kumwogopa Mungu,+

       4 Ni kama mwangaza wa asubuhi jua linapoangaza,+

      Asubuhi isiyo na mawingu.

      Ni kama mwangaza baada ya mvua kunyesha,

      Ambao unaotesha majani duniani.’+

  • Zaburi 119:105
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,

      Na nuru ya njia yangu.+

  • 1 Wakorintho 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana sasa tunaona kwa njia isiyo ya waziwazi* kupitia kioo cha chuma, lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso. Kwa sasa sijui kikamili, lakini wakati huo nitajua kwa usahihi,* kama vile ninavyojulikana kwa usahihi.

  • 2 Wakorintho 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.

  • 2 Petro 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi tuna neno la kinabii likiwa limefanywa hakika zaidi, nanyi mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile taa+ inayoangaza mahali penye giza (mpaka siku ipambazuke na nyota ya mchana+ ichomoze) mioyoni mwenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki