12 Kwa maana sasa tunaona kwa njia isiyo ya waziwazi* kupitia kioo cha chuma, lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso. Kwa sasa sijui kikamili, lakini wakati huo nitajua kwa usahihi,* kama vile ninavyojulikana kwa usahihi.
6 Kwa maana Mungu ndiye aliyesema: “Nuru na iangaze kutoka katika giza,”+ naye ameangaza juu ya mioyo yetu ili kuimulika+ kwa ujuzi wenye utukufu kumhusu Mungu kupitia uso wa Kristo.
19 Basi tuna neno la kinabii likiwa limefanywa hakika zaidi, nanyi mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile taa+ inayoangaza mahali penye giza (mpaka siku ipambazuke na nyota ya mchana+ ichomoze) mioyoni mwenu.