Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ee Yehova Bwana wetu, jinsi jina lako lilivyo kuu katika dunia yote;

      Umeweka fahari yako juu zaidi hata kuliko mbingu!*+

  • Zaburi 148:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na walisifu jina la Yehova,

      Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+

      Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+

  • Ufunuo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki