Zaburi 95:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Njooni, tuabudu na kuinama;Na tupige magoti mbele za Yehova Muumba wetu.+ 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,Na sisi ni watu wa malisho yake,Kondoo anaowatunza.*+ Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Ezekieli 34:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “‘Nanyi kondoo wangu,+ kondoo ninaowatunza, ninyi ni wanadamu tu, nami ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” 1 Petro 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*
6 Njooni, tuabudu na kuinama;Na tupige magoti mbele za Yehova Muumba wetu.+ 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,Na sisi ni watu wa malisho yake,Kondoo anaowatunza.*+ Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Ezekieli 34:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “‘Nanyi kondoo wangu,+ kondoo ninaowatunza, ninyi ni wanadamu tu, nami ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” 1 Petro 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*
31 “‘Nanyi kondoo wangu,+ kondoo ninaowatunza, ninyi ni wanadamu tu, nami ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*