Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 95:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Njooni, tuabudu na kuinama;

      Na tupige magoti mbele za Yehova Muumba wetu.+

       7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,

      Na sisi ni watu wa malisho yake,

      Kondoo anaowatunza.*+

      Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+

  • Ezekieli 34:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “‘Nanyi kondoo wangu,+ kondoo ninaowatunza, ninyi ni wanadamu tu, nami ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

  • 1 Petro 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki