Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Kisha akawatoa nje watu wake kama kundi la kondoo+

      Na kuwaongoza nyikani kama kundi la mifugo.

  • Zaburi 100:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+

      Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+

      Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+

  • Isaya 40:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+

      Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,

      Naye atawabeba kwenye kifua chake.

      Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki