Zaburi 78:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Kisha akawatoa nje watu wake kama kundi la kondoo+Na kuwaongoza nyikani kama kundi la mifugo. Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+ Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+ Isaya 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,Naye atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+
3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+ Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,Naye atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+