Zaburi 90:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla milima haijazaliwaAu kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+ Habakuki 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, wewe si wa tangu milele, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.*+ Ee Yehova, uliwachagua ili watekeleze hukumu;Mwamba wangu,+ uliwaweka ili watekeleze adhabu.*+ Ufunuo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+
2 Kabla milima haijazaliwaAu kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+
12 Je, wewe si wa tangu milele, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.*+ Ee Yehova, uliwachagua ili watekeleze hukumu;Mwamba wangu,+ uliwaweka ili watekeleze adhabu.*+
8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+