Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Kwa sababu wale wanaoteswa wanakandamizwa,

      Kwa sababu ya kilio cha uchungu cha maskini,+

      Nitainuka na kutenda,” asema Yehova.

      “Nitawaokoa kutoka kwa wale wanaowatendea kwa dharau.”*

  • Methali 22:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+

      Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+

      23 Kwa maana Yehova mwenyewe atawatetea+

      Naye atawaangamiza wanaowapunja.

  • Yakobo 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki