Zaburi 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa sababu wale wanaoteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha uchungu cha maskini,+Nitainuka na kutenda,” asema Yehova. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wanaowatendea kwa dharau.”* Methali 22:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+23 Kwa maana Yehova mwenyewe atawatetea+Naye atawaangamiza wanaowapunja. Yakobo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+
5 “Kwa sababu wale wanaoteswa wanakandamizwa,Kwa sababu ya kilio cha uchungu cha maskini,+Nitainuka na kutenda,” asema Yehova. “Nitawaokoa kutoka kwa wale wanaowatendea kwa dharau.”*
22 Usimwibie mtu maskini kwa kuwa ni maskini,+Wala usimkandamize mtu wa hali ya chini katika lango la jiji,+23 Kwa maana Yehova mwenyewe atawatetea+Naye atawaangamiza wanaowapunja.
4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+