Kutoka 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga madhabahu kwenye sehemu ya chini ya mlima huo na nguzo 12 kulingana na idadi ya makabila 12 ya Israeli. Hesabu 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi huongea naye uso kwa uso,*+ waziwazi, wala si kwa mafumbo; naye huona uwepo wangu, mimi Yehova. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya kumhusu Musa, mtumishi wangu?”
4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga madhabahu kwenye sehemu ya chini ya mlima huo na nguzo 12 kulingana na idadi ya makabila 12 ya Israeli.
8 Mimi huongea naye uso kwa uso,*+ waziwazi, wala si kwa mafumbo; naye huona uwepo wangu, mimi Yehova. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya kumhusu Musa, mtumishi wangu?”