Zaburi 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akajifunika giza,+Pande zote kama banda,Maji yenye giza na mawingu mazito.+ Amosi 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Yule anayejenga ngazi zake mbinguniNa kujenga jengo* lake juu ya dunia;Yule anayeyaita maji ya bahari,Ili ayamwage duniani+—Yehova ndilo jina lake.’+
6 ‘Yule anayejenga ngazi zake mbinguniNa kujenga jengo* lake juu ya dunia;Yule anayeyaita maji ya bahari,Ili ayamwage duniani+—Yehova ndilo jina lake.’+