Amosi 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “ ‘Yeye anayejenga ngazi zake huko mbinguni,+ na jengo lake juu ya dunia ambayo ameiwekea msingi;+ yeye anayeyaita maji ya bahari,+ ili ayamwage juu ya uso wa dunia+—Yehova ndilo jina lake.’+ Amosi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 9:6 w09 1/1 16-17 Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:6 Mnara wa Mlinzi,1/1/2009, kur. 16-17
6 “ ‘Yeye anayejenga ngazi zake huko mbinguni,+ na jengo lake juu ya dunia ambayo ameiwekea msingi;+ yeye anayeyaita maji ya bahari,+ ili ayamwage juu ya uso wa dunia+—Yehova ndilo jina lake.’+