Nehemia 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Lakini mababu zetu, wakatenda kwa kimbelembele+ na kuwa wakaidi,*+ nao hawakusikiliza amri zako. Zaburi 78:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,Kizazi chenye ukaidi na uasi,+Kizazi kilichokuwa na moyo unaoyumbayumba*+Na ambacho hakikuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.
8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,Kizazi chenye ukaidi na uasi,+Kizazi kilichokuwa na moyo unaoyumbayumba*+Na ambacho hakikuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.