14 Kwa maana nitakuwa kama mwanasimba kwa Waefraimu,
Na kama simba mwenye nguvu kwa nyumba ya Yuda.
Mimi mwenyewe nitawararua vipandevipande na kwenda zangu;+
Nitawabeba na kwenda nao, na hakuna yeyote atakayewaokoa.+
15 Nitaenda na kurudi mahali pangu mpaka watakapolipia hatia yao,
Na kisha watatafuta kibali changu.+
Watakapokuwa wakiteseka, watanitafuta.”+