Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mungu akaumba viumbe wakubwa* wa baharini na viumbe wote walio hai waendao na waliojaa majini kulingana na aina zao na kila kiumbe mwenye mabawa anayeruka, kulingana na aina yake. Mungu akaona kuwa ni vyema.

  • Zaburi 104:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kisha kuna bahari, ni kubwa sana na pana,

      Imejaa viumbe walio hai wasio na idadi, wadogo kwa wakubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki