Mwanzo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mungu akaumba viumbe wakubwa* wa baharini na viumbe wote walio hai waendao na waliojaa majini kulingana na aina zao na kila kiumbe mwenye mabawa anayeruka, kulingana na aina yake. Mungu akaona kuwa ni vyema. Zaburi 104:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha kuna bahari, ni kubwa sana na pana,Imejaa viumbe walio hai wasio na idadi, wadogo kwa wakubwa.+
21 Mungu akaumba viumbe wakubwa* wa baharini na viumbe wote walio hai waendao na waliojaa majini kulingana na aina zao na kila kiumbe mwenye mabawa anayeruka, kulingana na aina yake. Mungu akaona kuwa ni vyema.
25 Kisha kuna bahari, ni kubwa sana na pana,Imejaa viumbe walio hai wasio na idadi, wadogo kwa wakubwa.+