Zaburi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+ Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+ Zaburi 125:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 125 Wale wanaomtumaini Yehova+Ni kama Mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikiswaBali hudumu milele.+
5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+ Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+