Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo Sulemani akasema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza zito.+ 13 Nimefanikiwa kukujengea nyumba iliyokwezwa, mahali palipofanywa imara ili ukae humo milele.”+

  • Zaburi 48:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+

      Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,

      Jiji la Mfalme Mkuu.+

  • Zaburi 132:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+

      Amelitamani liwe makao yake:+

      14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;

      Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki