1 Wafalme 8:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo Sulemani akasema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza zito.+ 13 Nimefanikiwa kukujengea nyumba iliyokwezwa, mahali palipofanywa imara ili ukae humo milele.”+ Zaburi 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+ Zaburi 132:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani.
12 Wakati huo Sulemani akasema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza zito.+ 13 Nimefanikiwa kukujengea nyumba iliyokwezwa, mahali palipofanywa imara ili ukae humo milele.”+
2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+
13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani.