1 Mambo ya Nyakati 16:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+Leteni zawadi na mje mbele zake.+ Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu.*+ 30 Tetemekeni mbele zake, dunia yote! Dunia imeimarishwa kabisa; haiwezi kusogezwa.*+
29 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+Leteni zawadi na mje mbele zake.+ Mwinamieni* Yehova katika mapambo matakatifu.*+ 30 Tetemekeni mbele zake, dunia yote! Dunia imeimarishwa kabisa; haiwezi kusogezwa.*+