Hesabu 15:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 ‘Mnapaswa kutengeneza upindo huo wa nyuzinyuzi ili muuone na kukumbuka amri zote za Yehova na kuzishika.+ Msifuate mioyo yenu na macho yenu, ambayo yanawaongoza kwenye ukahaba wa kiroho.+ Methali 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Macho yako yanapaswa kutazama mbele moja kwa moja,Naam, yakaze macho yako* moja kwa moja mbele yako.+ Methali 23:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usijichoshe kupata utajiri.+ Acha, na uonyeshe uelewaji.* 5 Ukiutupia jicho, haupo,+Kwa maana hakika utaota mabawa kama ya tai na kuruka mbali angani.+
39 ‘Mnapaswa kutengeneza upindo huo wa nyuzinyuzi ili muuone na kukumbuka amri zote za Yehova na kuzishika.+ Msifuate mioyo yenu na macho yenu, ambayo yanawaongoza kwenye ukahaba wa kiroho.+
25 Macho yako yanapaswa kutazama mbele moja kwa moja,Naam, yakaze macho yako* moja kwa moja mbele yako.+
4 Usijichoshe kupata utajiri.+ Acha, na uonyeshe uelewaji.* 5 Ukiutupia jicho, haupo,+Kwa maana hakika utaota mabawa kama ya tai na kuruka mbali angani.+