Zaburi 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumwogopa Yehova ni jambo safi,+ hudumu milele. Hukumu za Yehova ni za kweli; zote ni za uadilifu.+ Zaburi 119:75 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 75 Ninajua, Ee Yehova, kwamba hukumu zako ni za uadilifu+Na kwamba umenitesa kwa uaminifu wako.+
9 Kumwogopa Yehova ni jambo safi,+ hudumu milele. Hukumu za Yehova ni za kweli; zote ni za uadilifu.+