Zaburi 119:158 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 158 Ninawatazama wenye hila kwa chuki kali,Kwa sababu hawalishiki neno lako.+ Zaburi 139:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Je, siwachukii wale wanaokuchukia wewe, Ee Yehova,+Na kuwachukia kabisa wale wanaokuasi?+ Methali 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaoiacha sheria humsifu mtu mwovu,Lakini wale wanaoishika sheria huwakasirikia.+