Kutoka 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+ Zaburi 86:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+