Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Methali 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova mwenyewe hutoa hekima;+Na kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi. Methali 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwenye hekima moyoni atakubali mafundisho,*+Lakini mtu anayezungumza maneno ya upumbavu atakanyagiwa chini.+
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
8 Mwenye hekima moyoni atakubali mafundisho,*+Lakini mtu anayezungumza maneno ya upumbavu atakanyagiwa chini.+