Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini waovu, wataangamizwa kutoka duniani,+Na wenye hila watang’olewa kutoka ndani yake.+ Methali 25:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ondoa takataka katika fedha,Nayo itakuwa safi kabisa.+ 5 Mwondoe mtu mwovu mbele ya mfalme,Na kiti chake cha ufalme kitaimarishwa kabisa katika uadilifu.+ Ezekieli 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mwana wa binadamu, watu wa nyumba ya Israeli wamekuwa kama takataka isiyo na thamani kwangu. Wote ni shaba na bati na chuma na risasi katika tanuru. Wamekuwa takataka ya fedha.+
4 Ondoa takataka katika fedha,Nayo itakuwa safi kabisa.+ 5 Mwondoe mtu mwovu mbele ya mfalme,Na kiti chake cha ufalme kitaimarishwa kabisa katika uadilifu.+
18 “Mwana wa binadamu, watu wa nyumba ya Israeli wamekuwa kama takataka isiyo na thamani kwangu. Wote ni shaba na bati na chuma na risasi katika tanuru. Wamekuwa takataka ya fedha.+