1 Wafalme 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Kisha mfalme akamwambia Shimei: “Unajua moyoni mwako madhara yote uliyomtendea baba yangu Daudi,+ basi Yehova atakulipiza kwa sababu ya madhara hayo.*+ 1 Wafalme 2:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Ndipo mfalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada, basi akatoka nje na kumpiga Shimei, akamuua.+ Hivyo, ufalme ukaimarishwa kabisa mikononi mwa Sulemani.+ Methali 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Upendo mshikamanifu na uaminifu humlinda mfalme;+Kwa upendo mshikamanifu anadumisha kiti chake cha ufalme.+ Methali 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mfalme anapowahukumu maskini kwa haki,+Kiti chake cha ufalme kitakuwa salama daima.+
44 Kisha mfalme akamwambia Shimei: “Unajua moyoni mwako madhara yote uliyomtendea baba yangu Daudi,+ basi Yehova atakulipiza kwa sababu ya madhara hayo.*+
46 Ndipo mfalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada, basi akatoka nje na kumpiga Shimei, akamuua.+ Hivyo, ufalme ukaimarishwa kabisa mikononi mwa Sulemani.+
28 Upendo mshikamanifu na uaminifu humlinda mfalme;+Kwa upendo mshikamanifu anadumisha kiti chake cha ufalme.+