Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Kisha mfalme akamwambia Shimei: “Unajua moyoni mwako madhara yote uliyomtendea baba yangu Daudi,+ basi Yehova atakulipiza kwa sababu ya madhara hayo.*+

  • 1 Wafalme 2:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Ndipo mfalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada, basi akatoka nje na kumpiga Shimei, akamuua.+

      Hivyo, ufalme ukaimarishwa kabisa mikononi mwa Sulemani.+

  • Methali 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Upendo mshikamanifu na uaminifu humlinda mfalme;+

      Kwa upendo mshikamanifu anadumisha kiti chake cha ufalme.+

  • Methali 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mfalme anapowahukumu maskini kwa haki,+

      Kiti chake cha ufalme kitakuwa salama daima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki