Methali 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Upendo mshikamanifu na uaminifu humlinda mfalme;+Kwa upendo mshikamanifu anadumisha kiti chake cha ufalme.+ Methali 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwondoe mtu mwovu mbele ya mfalme,Na kiti chake cha ufalme kitaimarishwa kabisa katika uadilifu.+ Isaya 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.
28 Upendo mshikamanifu na uaminifu humlinda mfalme;+Kwa upendo mshikamanifu anadumisha kiti chake cha ufalme.+
7 Kwa wingi wa utawala wake*Na amani, hakutakuwa na mwisho,+Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wakeIli kuuimarisha kabisa+ na kuutegemezaKupitia haki+ na uadilifu,+Kuanzia sasa mpaka milele. Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.