Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Chungu cha kusafishia ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,+

      Lakini Yehova ndiye mchunguzaji wa mioyo.+

  • Yeremia 6:28-30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wote ni watu wakaidi kabisa,+

      Wanaotembea huku na huku wakichongea.+

      Wao ni kama shaba na chuma;

      Wote wamepotoka.

      29 Vifaa vya kuvukuta vimeunguzwa.

      Risasi inatoka kwenye moto wao.

      Mtu anaendelea kuwasafisha sana lakini anafanya kazi ya bure,+

      Na wale wabaya hawajatengwa.+

      30 Hakika watu watawaita fedha iliyokataliwa,

      Kwa maana Yehova amewakataa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki