Isaya 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova,“Wanaotekeleza mipango ambayo si yangu,+Wanaofanya miungano,* lakini si kwa roho yangu,Ili kuongeza dhambi juu ya dhambi. Isaya 48:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu nilijua jinsi ulivyo mkaidi—Kwamba shingo yako ni kano ya chuma na paji la uso wako ni shaba+— Yeremia 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini watu hawa wana moyo mgumu unaoasi;Wamegeuka kando na kuifuata njia yao wenyewe.+
30 “Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova,“Wanaotekeleza mipango ambayo si yangu,+Wanaofanya miungano,* lakini si kwa roho yangu,Ili kuongeza dhambi juu ya dhambi.
4 Kwa sababu nilijua jinsi ulivyo mkaidi—Kwamba shingo yako ni kano ya chuma na paji la uso wako ni shaba+— Yeremia 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini watu hawa wana moyo mgumu unaoasi;Wamegeuka kando na kuifuata njia yao wenyewe.+