Zaburi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na unizuie mimi mtumishi wako nisitende matendo ya kimbelembele;+Usiruhusu yanitawale.+ Ndipo nitakapokuwa kamili,+Na sitakuwa na hatia ya dhambi zilizo wazi.* Waroma 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi iendelee kutawala kama mfalme katika miili yenu inayoweza kufa+ hivi kwamba mzitii tamaa zake.
13 Na unizuie mimi mtumishi wako nisitende matendo ya kimbelembele;+Usiruhusu yanitawale.+ Ndipo nitakapokuwa kamili,+Na sitakuwa na hatia ya dhambi zilizo wazi.*
12 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi iendelee kutawala kama mfalme katika miili yenu inayoweza kufa+ hivi kwamba mzitii tamaa zake.