4 Yehova akamwambia: “Pita kotekote jijini, katika jiji lote la Yerusalemu, nawe uyatie alama mapaji ya nyuso za watu wanaolia kwa uchungu na kwa maumivu makali+ kwa sababu ya mambo yote yanayochukiza yanayofanywa jijini.”+
7 Naye alimwokoa Loti mwadilifu,+ aliyetaabishwa sana na mwenendo mpotovu* wa waasi sheria— 8 kwa maana siku baada ya siku mtu huyo mwadilifu alikuwa akiitesa nafsi* yake yenye uadilifu kwa sababu ya matendo ya kuasi sheria aliyoona na kusikia alipokuwa akiishi miongoni mwao.