Zaburi 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno ya Yehova ni safi;+Ni kama fedha iliyosafishwa katika tanuru la udongo,* iliyosafishwa mara saba. Zaburi 119:160 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 160 Kiini hasa cha neno lako ni kweli,+Na hukumu zako zote za uadilifu zinadumu milele.
6 Maneno ya Yehova ni safi;+Ni kama fedha iliyosafishwa katika tanuru la udongo,* iliyosafishwa mara saba.