19 Nachukua mbingu na dunia kuwa mashahidi dhidi yenu leo kwamba nimeweka uzima na kifo mbele yenu, baraka na laana;+ nanyi lazima mchague uzima ili mwendelee kuishi,+ ninyi na wazao wenu,+
15 Sasa ikiwa mnaona ni vibaya kumtumikia Yehova, chagueni leo yule mtakayemtumikia,+ iwe ni miungu ambayo mababu zenu waliabudu ng’ambo ya Mto*+ au miungu ya Waamori mnaoishi katika nchi yao.+ Lakini mimi na familia* yangu, tutamtumikia Yehova.”
22 Basi Yoshua akawaambia, “Ninyi ni mashahidi dhidi yenu wenyewe kwamba mmechagua kwa hiari yenu kumtumikia Yehova.”+ Nao wakajibu, “Sisi ni mashahidi.”