Zaburi 95:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,Na sisi ni watu wa malisho yake,Kondoo anaowatunza.*+ Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Luka 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Ikiwa mmoja wenu ana kondoo 100, naye ampoteze mmoja, je, hatawaacha wale 99 nyikani aende kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate?+ 1 Petro 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,Na sisi ni watu wa malisho yake,Kondoo anaowatunza.*+ Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Luka 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Ikiwa mmoja wenu ana kondoo 100, naye ampoteze mmoja, je, hatawaacha wale 99 nyikani aende kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate?+ 1 Petro 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*
4 “Ikiwa mmoja wenu ana kondoo 100, naye ampoteze mmoja, je, hatawaacha wale 99 nyikani aende kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate?+
25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*