Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 46:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu,+

      Msaada unaopatikana kwa urahisi nyakati za taabu.+

  • Isaya 41:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika kwa nguvu mkono wako wa kulia,

      Mimi ninayekuambia, ‘Usiogope. Nitakusaidia.’+

  • Yeremia 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+

      Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+

      Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa.

      Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+

  • Waebrania 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki