Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu,+Msaada unaopatikana kwa urahisi nyakati za taabu.+ Isaya 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika kwa nguvu mkono wako wa kulia,Mimi ninayekuambia, ‘Usiogope. Nitakusaidia.’+ Yeremia 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+ Waebrania 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+
13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika kwa nguvu mkono wako wa kulia,Mimi ninayekuambia, ‘Usiogope. Nitakusaidia.’+
11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+