Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa Yehova kwa maana hakutii neno la Yehova,+ na pia kwa sababu alitafuta ushauri kutoka kwa mtu aliyewasiliana na roho+

  • Zaburi 53:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Lakini watajawa na hofu kubwa,

      Hofu ambayo hawajawahi kamwe kuwa nayo,*

      Kwa maana Mungu ataitawanya mifupa ya wale wanaowashambulia ninyi.*

      Mtawaaibisha, kwa maana Yehova amewakataa wao.

  • Isaya 59:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Hawajaijua njia ya amani,

      Na hakuna haki katika vijia vyao.+

      Wanazipotosha barabara zao;

      Hakuna yeyote anayetembea humo atakayejua amani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki