Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 7:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova Mungu wa mababu zetu na asifiwe, ambaye alitia ndani ya moyo wa mfalme wazo la kuipamba nyumba ya Yehova iliyo Yerusalemu!+ 28 Naye amenitendea kwa upendo mshikamanifu mbele ya mfalme,+ washauri wake,+ na wakuu wote wa mfalme wenye nguvu. Hivyo nikajipa ujasiri* kwa sababu mkono wa Yehova Mungu ulikuwa juu yangu, nami nikawakusanya wanaume waliokuwa viongozi* katika Israeli ili wapande pamoja nami.

  • Isaya 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki