Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa sababu hasira yake ni ya muda mfupi tu,+

      Lakini kibali chake* hudumu maisha yote.+

      Huenda kukawa na kilio jioni, lakini asubuhi, kuna kilio cha shangwe.+

  • Isaya 61:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 61 Roho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova iko juu yangu,+

      Kwa sababu Yehova alinitia mafuta niwatangazie wapole habari njema.+

      Alinituma kuyafunga majeraha ya waliovunjika moyo,

      Kuwatangazia mateka uhuru

      Na kutangaza kwamba macho ya wafungwa yatafunguliwa kabisa,+

       2 Kutangaza mwaka wa nia njema ya* Yehova

      Na siku ya kisasi ya Mungu wetu,+

      Kuwafariji wote wanaoomboleza,+

       3 Kuwaandalia mahitaji wale wanaoombolezea Sayuni,

      Kuwapa vazi la kichwani badala ya majivu,

      Mafuta ya furaha badala ya maombolezo,

      Vazi la sifa badala ya roho iliyovunjika.

      Nao wataitwa miti mikubwa ya uadilifu,

      Bustani ya Yehova, ili kumtukuza.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki