Mhubiri 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hili ndilo jambo ambalo nimeona ni jema na linafaa: kwamba mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yote ngumu+ anayofanya kwa jasho chini ya jua katika siku chache za maisha alizopewa na Mungu wa kweli, kwa maana hiyo ndiyo thawabu yake.*+ Isaya 65:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,Wala hawatapanda na watu wengine wale. Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.
18 Hili ndilo jambo ambalo nimeona ni jema na linafaa: kwamba mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yote ngumu+ anayofanya kwa jasho chini ya jua katika siku chache za maisha alizopewa na Mungu wa kweli, kwa maana hiyo ndiyo thawabu yake.*+
22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,Wala hawatapanda na watu wengine wale. Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.