2 Samweli 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Lirudishe jijini Sanduku la Mungu wa kweli.+ Nikipata kibali machoni pa Yehova, atanirudisha na kuniruhusu kuliona na kuona mahali linapokaa.+ Zaburi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akisema: “Mimi mwenyewe nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.”
25 Lakini mfalme akamwambia Sadoki: “Lirudishe jijini Sanduku la Mungu wa kweli.+ Nikipata kibali machoni pa Yehova, atanirudisha na kuniruhusu kuliona na kuona mahali linapokaa.+