Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Waisraeli wote walikuwa wakitazama moto uliposhuka na utukufu wa Yehova ulipokuwa juu ya nyumba hiyo, nao wakainama kifudifudi kwenye sakafu ya mawe, wakasujudu na kumshukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema; upendo wake mshikamanifu unadumu milele.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Baada ya kushauriana na watu, aliwaweka wanaume ili wamwimbie+ Yehova na kumsifu wakiwa wamevaa mavazi matakatifu huku wakiwatangulia wanaume wenye silaha, wakisema: “Mshukuruni Yehova, kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.”+

  • Zaburi 106:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 106 Msifuni Yah!*

      Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

      Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

  • Zaburi 107:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 107 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

      Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki