Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Kwa kweli ninajua hivyo ndivyo ilivyo.

      Lakini mwanadamu anayeweza kufa anawezaje kuwa mwadilifu katika kesi na Mungu?+

  • Zaburi 130:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ikiwa ungekuwa unatazama* tu makosa, Ee Yah,*

      Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+

  • Mhubiri 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana hakuna mtu mwadilifu duniani anayefanya mema sikuzote na hatendi dhambi kamwe.+

  • Waroma 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo, hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu mbele zake kupitia matendo ya sheria,+ kwa maana kupitia sheria tunapata ujuzi sahihi kuhusu dhambi.+

  • Wagalatia 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 tunatambua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu, si kupitia matendo ya sheria, bali kupitia tu imani+ katika Yesu Kristo.+ Basi sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kupitia imani katika Kristo bali si kupitia matendo ya sheria, kwa maana hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu kupitia matendo ya sheria.+

  • 1 Yohana 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ikiwa tunasema, “Hatujatenda dhambi,” tunamfanya yeye kuwa mwongo, na neno lake halimo ndani yetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki