Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo,+Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,Na kinachowasubiri kitafika haraka.’ Nahumu 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+ Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake. Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+
35 Kisasi ni changu, na malipo,+Wakati utakapofika ambapo mguu wao utateleza,+Kwa maana siku ya msiba wao iko karibu,Na kinachowasubiri kitafika haraka.’
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+ Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake.
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu;*+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”*+