Waamuzi 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Maadui wako wote na waangamie,+ Ee Yehova,Lakini wanaokupenda na wawe kama jua linalochomoza katika utukufu wake.” Na nchi ikawa na amani* kwa miaka 40.+ Zaburi 125:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 125 Wale wanaomtumaini Yehova+Ni kama Mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikiswaBali hudumu milele.+
31 Maadui wako wote na waangamie,+ Ee Yehova,Lakini wanaokupenda na wawe kama jua linalochomoza katika utukufu wake.” Na nchi ikawa na amani* kwa miaka 40.+