Luka 22:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Lakini alikuwa na maumivu makali hivi kwamba akaendelea kusali kwa bidii zaidi;+ na jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka chini. Yohana 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Sasa ninataabika,*+ nami niseme nini? Baba, niokoe kutoka katika saa hii.+ Hata hivyo, ndiyo sababu nimekuja kwenye saa hii.
44 Lakini alikuwa na maumivu makali hivi kwamba akaendelea kusali kwa bidii zaidi;+ na jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka chini.
27 Sasa ninataabika,*+ nami niseme nini? Baba, niokoe kutoka katika saa hii.+ Hata hivyo, ndiyo sababu nimekuja kwenye saa hii.