Zaburi 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela) Zaburi 51:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ugeuze uso wako* mbali na dhambi zangu,+Na uyafutilie mbali* makosa yangu yote.+
5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela)