Zaburi 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Itume nuru yako na kweli yako.+ Navyo viniongoze;+Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+ Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+ Nitatembea katika kweli yako.+ Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+
3 Itume nuru yako na kweli yako.+ Navyo viniongoze;+Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+
11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+ Nitatembea katika kweli yako.+ Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+